top of page

Taste of the Africa

East African's Most Pork Acclaimed Africa Restaurant
KITIMOTO

Nyama Tamu ya nguruwe Inayopendwa zaidi Tanzania na Africa Inapatikana.
Onja Ladha Yake Leo Ujionee

 

download (12).png
UGALI & NDIZI

Nyama ya Nguruwe Inapendeza sana kama Ukipatiwa na Ndizi/Ugali wa Moto kwa Pembeni.

16318_357599377687536_1539374573_n.jpg
DRINKS

Kinywaji Baridi Nacho Chapendeza sana Kushushia na Chakula. Waweza Tuagiza kwa Bei Nafuu Tukakuletea.

Wine Bottles
Menus

Historia Yetu

Mahery Kitimoto Express ni Kampuni ya Wauzaji na Wasambazaji wa Nyama Aina ya Nguruwe(Pork) Jijini Dar es Salaam.

Kampuni hii imesajiliwa nchini Tanzania. Huduma zake  zinapatikana Ndani ya Dar es salaam na Baadae Kusambaa Mikoa Kadhaa Nchini Tanzania.

​

Mahery Kitimoto Express Mwazo Iliitwa Kitimoto Center Pale Mjini Iringa seemu inayojulikana kwa jina la Frelimo, Tlikuwa Tukitoa Huduma za Kuuza Nyama Pendwa ya Nguruwe mwaka 2018. 

Kufikia mwaka 2019 Tukafungua Mgahawa wa Nyama Rosti na Mbichi kwa wateja wa jiji la Dar es Salaam. 
Maboresho haya yamekuja sambamba na Huduma za Usambazaji wa Chakula Majumbani na Ofisini.
Pia Wateja wetu walipenda sana Nyama ya kukaanga na Rosti, vilevile tunatoa na huduma ya Nyama Choma, Ugali na Ndizi.

​

Mahery Kitimoto Express! Imedhamiria kutimiza Uchumi wa Viwanda Hivyo tayari imeanza Kwa vitendo  Kusindika Nyama na Kupaki kwenye vifungashio na kuuza sokoni.

About

"Unapokunywa Bia,

Kumbuka na Radha yake"

Toa ODA yako sasa Tukufikie Popote Ulipo 
Ndani ya Dar es salaam.

Usafiri Tunao Masaa 24, Karibu sana.

 

Tupigie: +255653110720.

IMG_20190720_191245.jpg
Wisdom
Contact
Reservation

ADDRESS

Mtaa wa Ocean Road

Posta, Dar es Salaam, S.L.P 444

Tanzania.

OPENING HOURS

Mon - Fri: 10am - 08pm

​​Sat - Sun: 10am - 10pm

FOLLOW

CONTACT

+255653110720

+255657190130

+255785033207

order@kitimoto.com

©2021 by Mahery Kitimoto Express Limited. Proudly created with Mahery Group

bottom of page